Yalimkuta Sal-G kwa VYISI, Tarafani Kanyosha... - Kora Entertainment
Home » » Yalimkuta Sal-G kwa VYISI, Tarafani Kanyosha...

Yalimkuta Sal-G kwa VYISI, Tarafani Kanyosha...

Written By Unknown on mercredi 2 janvier 2013 | mercredi, janvier 02, 2013

Msanii wa miondoko ya RNB nchini Burundi SAL G ambae ana uhusiano wa kimapenzi (wanatoka pamoja) na MISS ERICA kwenye show ilio fanyika Tarafani Kanyosha sehemu pajulikanapo kama kwa VYISI.Dakika moja kabla yakuingia jukwani mkaba wake wakiunoni (ceinture) ulikatika ikamlazimu kuazima jama yake kwani ingelikuwa aibu kwake kama kio cha jamii kupanda jukwani na hali kama hio...Kama unavyo ona kwenye picha hio ilikua kama mshangao kwake,tuna imani yakuwa endapo jamaa yake huo angelikuwa karibu ingekuwa aibu kubwa.Ifahamike ya kuwa Msanii huo anatambulika sana kupitia bonge la pini 'No love' alio mshirikisha Queen Flo. Habari ndio hio...
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News