Belgique: -Andy Cool:"Video yangu 'Humanite' very soon..." - Kora Entertainment
Home » » Belgique: -Andy Cool:"Video yangu 'Humanite' very soon..."

Belgique: -Andy Cool:"Video yangu 'Humanite' very soon..."

Written By Unknown on jeudi 3 janvier 2013 | jeudi, janvier 03, 2013



Andy Cool

Msanii mrundi ambae anaendelea kazi za mziki nchini Ubelgigi NDIZEYE Adolphe a.k.a Andy Cool ameifahamisha blog yetu hii kama mwaka 2013 lazima akamilishe ndoto zake zakungara kwenye fani ya mziki. Tulipo muhoji alitufamisha kuwa ."Hivi karibuni nataka kufanya colabo na Msani wa kike UWINYOTA Riziki alietamba na anazidi kutamba hadi mdaa huu na nyimbo yake 'Nikozubakwa' inayotetemesha wengi kupitia ujumbe alio utowa kwenye pini hio.Baada ya hio ntawakilisha video yangu ya kwanza ya nyimbo 'Humanite',niko natumika video hio na JEAN NIKAN a.k.a Moise,namuamini sana kwani anafanya kazi nzuri ya production.Baada ya hio akipenda Mungu mwezi wa february ntakuwa Holland kwenye bonge la Tamasha."Habari ndio hio...





Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News