Sat b : " Sherehe za mwaka mpya nazisheherekea Kampala" - Kora Entertainment
Home » » Sat b : " Sherehe za mwaka mpya nazisheherekea Kampala"

Sat b : " Sherehe za mwaka mpya nazisheherekea Kampala"

Written By Unknown on samedi 29 décembre 2012 | samedi, décembre 29, 2012


Tamasha hio haitokuwa tena,imehairishwa...

Baada yakupeperusha matangazo kupitia mitandao yaki jamii na kutangazwa kwenye radio na television tofauti nchini Burundi.Msanii BIZIMANA Aboubakar Karoume a.k.a Sat b,a.k.a The Independant ametufahamisha kupitia ujumbe mfupi wa sim kuwa Tamasha aliokuwa amepanga kwakuitangaza nyimbo yake 'Ikinyamugigima' Mkoani Ngozi ame ihairisha nakuipanga siku nyingine.Alitwambia kupitia ujumbe huo mfupi kwa maswali flani flani tulio mu uliza:

Sat b: Oyo slm alkm nimefika Kampala yani nasubiri kufanya kazi mzee tarehe 31 big concert kisha baadae nafanya kazi kwa Washington.
AH: www,sasa vipi mbona nimeona affiche ya belvedere,inakuwaje hutokuwa tena?niwekee uwazi bro,nataka niandike vitu vya uhakika?
SAT B : Unaona braa mpangilio(programe) imebadilika (change),kwani huku kazi nyingi mno yani tumekosa muda waku teremka tumevunja(annuler) ya Ngozi na sasa punde tu ninaonana na Weasle & Radio tufanye kazi baadae tarehe 3 nifanye na Cindy kisha niteremke Buja nauhakika wakuwakilisha nchi yetu vilivyo huku...


Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News