Rwanda nawao wameanda Tamasha yakupokea mwaka mpya wa 2013... - Kora Entertainment
Home » » Rwanda nawao wameanda Tamasha yakupokea mwaka mpya wa 2013...

Rwanda nawao wameanda Tamasha yakupokea mwaka mpya wa 2013...

Written By Unknown on dimanche 30 décembre 2012 | dimanche, décembre 30, 2012

 Katika shambra shambra zaku upokea mwaka mpya 2013.Mpangilio mzima soma hapo kwenye bango.Ila swali linakuja?Kidum tunamuona kwenye bango hilo atakuwepo ao hatakuwepo? Swali hilo linakuja kwani Mwanamuziki Kibido Kidum yupo Ivory Coast kwenye mashindano ya Kora 2012,watawatangaza Washindi ifikapo tarehe hio hio.Je! Atakuwa Kigali/Rwanda ao atasalia Ivory Coast?
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News