Primusi 2012:"Insolite & good news kwa upande wa Primusic 1/4 final." - Kora Entertainment
Home » » Primusi 2012:"Insolite & good news kwa upande wa Primusic 1/4 final."

Primusi 2012:"Insolite & good news kwa upande wa Primusic 1/4 final."

Written By Unknown on mardi 4 décembre 2012 | mardi, décembre 04, 2012


 Hiyo ni picha ya wiki kwenye upande wa Primusic 2012,picha hiyo imechukuliwa baada tu ya Mwanamuziki B.June aliekuwa anawakilisha Mkoa wa Bururi kuondolewa mashindanoni,huku hapo kabla mwenzie Landry kutokea Mkoa wa Muyinga kuondolewa.Alidayi Landry kwa maneno makali:"Wewe njo umeniroga sauti,ukafanya ni shindwe,hiyo sio tabiya nzuri."Ifahamike tu ya kwamba Msanii huyo B.June aliwafahamisha wenziye wakiwa kambini kuwa yeye yuko na mzimu wa baba yake mzazi,hiyo ikaja kuwafanya wenziye wote kupatwa na hofu nawengine baadhi yao kutukuwa sawa.
 
Landry akiwa ananyamanzishwa na Big Farious baada yakuyaaga mashindano ya Primusi 2012.  


*Dj Bisoso,ni Mrundi toka Mkoani Gitega,anafanya vizuri nchini Rwanda,na alishindikiza mashindano kama hayo ya Guma Guma nchini Rwanda.
*Hao 6 ndio Washindi wa Primusic 2012 kwenye ngazi ya 1/4 fainali(Rally Joe,Aletha,Patient,Mr land,Kiki Toure & Samantha).


  








           
         


 





Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News