Msafara wa Big farious Mkowani Kirundo...' - Kora Entertainment
Home » » Msafara wa Big farious Mkowani Kirundo...'

Msafara wa Big farious Mkowani Kirundo...'

Written By Unknown on mardi 4 décembre 2012 | mardi, décembre 04, 2012

Big Fizzo alishangazwa sana na talents za baadhi ya walio shindana Mkoani Kirundo...

General ali imba live akisaidizwa na band la Kidum.Kidum akiwa kwenye batterie.


Fizzo alichukuwa fursa akiwa anazungu ukwa na Buddy Magloire,Bachir Dia,Sony na AH yakuwaskilizisha baadhi ya beat atakazo zitumiya kwenye album yake mpya atakayo simama nayo hivi karibuni.
Apo ni wakati alipokuwa anafika uwanja wa Tamasha,alizungurukwa na Washabiki kibao...
Apo ni Ngozi,kila alipokuwa anasimama alikuwa akizungurukwa na Washabiki kibao,jambo lililo nipa picha yakuwa anapendwa sana hapa nchini.
Apo ni Lamoda Club/Ngozi,hao ni Washabiki waliuza album ya Big Fizzo Cd 1 pesa 50.000frs,Cd hizo hadi mdaa huyu zauzikana pesa 10.000frs,ila hao washabiki wake waliuza cd 2 kwa bei ya elfu 50 cd moja.
Chapati,nyama na chai ya maziwa ndio chakula cha asubuhi anacho penda MUGANI Desire.
Apo ilikuwa ni Kirundo,Farious alishangazwa sana na talents za walio shindana,amewapongeza sana.

Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News