CHAN 2013:"Burundi-Kenya match ya awali tarehe 16/December/2012 jijini Bujumbura." - Kora Entertainment
Home » » CHAN 2013:"Burundi-Kenya match ya awali tarehe 16/December/2012 jijini Bujumbura."

CHAN 2013:"Burundi-Kenya match ya awali tarehe 16/December/2012 jijini Bujumbura."

Written By Unknown on mercredi 5 décembre 2012 | mercredi, décembre 05, 2012



Nchi ya Burundi imeyaendelesha mazowezi kwakujianda na pambano kali zidi ya Harambe Stars ya Kenya linalo mulikiwa kuchezwa ifikapo tarehe 16/December?2012 jijini Bujumbura.Match hiyo ilikuwa imepangwa kuchezwa wiki ya tarehe 1,2/December ila kutokana na match za CECAFA Tusker Challenge Cup ikawa imesogezwa mbele kidogo.Kamati tendaji ya FFB kutokana na mda unao saliya ukiwa mfinyu imetowa tangazo kusema kuwa ligue inasimama ili kuwa achiya nafasi Wachezaji kusaliya kujinowa vyakutosha katika maandalizi ya match hiyo ambayo ni muhimu endapo tutapata fursa yakuwa miongon i mwazile zitakazo pata nafasi yakuchezea kombe hilo.Msafara ilio ufanya nchini Uganda kwa upande wa mashindano ya Cecafa nchi ya Burundi yamekuja kuwa mazoezi kwao kwani tukilinganisha mdaa walio jianda ulikuwa mfinyu sana kabla ya kwenda Uganda.Wameingiya jana mchana Bujumbura.

*Matokeo ya match zingine zilizochezwa tarehe 1 na 2/December ni pamoja na:

Centrafrique (Imejiondoa mashindanoni) – Congo (Imepita baada yakushinda kwa ushindi wachee)
Maurice – Comores : 2-0
Burkina Faso – Togo : 2-1
Liberia – Mauritanie : 0-1
Guinée – Sierra Leone : 0-0
Burundi – Kenya : itachezwa tarehe 16/12/2012.
Erythrée – Ethiopie : itachezwa tarehe 16/12/2012.
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News