Kora Awards 2012:"Chris d amefika tayari nchini Ivory coast" - Kora Entertainment
Home » » Kora Awards 2012:"Chris d amefika tayari nchini Ivory coast"

Kora Awards 2012:"Chris d amefika tayari nchini Ivory coast"

Written By Unknown on jeudi 27 décembre 2012 | jeudi, décembre 27, 2012


Pichani CHRIS  na timu ya Ikho Multisrvice...


Mwanamziki NKEJIMANA Herve a.k.a Chris d jana usiku saa saba ndipo alisafiri kuelekea nchini Ivory coast kuwakilisha nchi yake ya burundi kwenye mashindano ya Kora 2012.Habari tulizo zipata ni kuwa alifika leo hii mida ya saa tano na nusu(11h30),alikabiliana na tizo lakukosa kitabu kinacho ashiri afya(Carte de vaccination),alipata bahati kwani wanao anda tamasha hilo walipita wanajielekeza uwanja wa ndege na wakawa wamerekebisha mambo,mdaa huu ameshasafirishwa kwenye hotel.Ifahamike ya kwamba Burundi itawakilishwa na Kidum-Chris d kwa upande wa Best male atist in East africa;huku kundi la Seraphim's songs kwa upande wa Best gospel group in africa.Watatangazwa Washindi siku ya jumaa mosi tarehe 29 December.
N.B: Jana walisafiri Chris d na kundi la Seraphim's songs,Kidum yeye atasafiri leo hii...
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News