CHRIS D leo hii imetembelea kwenye Radio ya uma(RPA). - Kora Entertainment
Home » » CHRIS D leo hii imetembelea kwenye Radio ya uma(RPA).

CHRIS D leo hii imetembelea kwenye Radio ya uma(RPA).

Written By Unknown on jeudi 20 décembre 2012 | jeudi, décembre 20, 2012


Dizzo na Paggio wakiwa kwenye kipindi 'East africa music'


CHRIS D leo hii amekuwa mgeni kwenye kipindi EAST AFRICA MUSIC kwenye radio ya kibinafsi RPA pamoja na Paggio Patrick NIYONKURU.Alioyazungumza usubuhi ya leo,nikuwa:"Mimi niko Bujumbura,nafarijika kuona niko nyumbani,nilipenda kuwakumbusha ndugu zangu kuwa nimechaguliwa kuwakilisha nchi yangu kwenye mashindano ya KORA 2012,sasa nahitaji wanipe kura zao."

Aliongeza nakusema kuwa:"Atasafiri kuelekea Ivory Coast ifikapo Jumaa tano kwani mambo yote yamesimama vizuri,atarudi tarehe 31/December/2012 usiku,amepangilia kuaga washabiki wake na bonge la Tamasha tarehe 1/January/2013 kwenye ukumbi wa kwa Vy'Isi tarafani kanyosha."

Paggio,Dizzo,Aisha Amuri na Big manager wa Dizzo.(Baada ya kipindi).



Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News