CHRIS D ameufanya mkutano na Waandishi wa habari usiku wa jana... - Kora Entertainment
Home » » CHRIS D ameufanya mkutano na Waandishi wa habari usiku wa jana...

CHRIS D ameufanya mkutano na Waandishi wa habari usiku wa jana...

Written By Unknown on mercredi 19 décembre 2012 | mercredi, décembre 19, 2012


Apo ni sehemu flani,Chris d alipo wakusanya baadhi ya Watangazaji nakuwasimuliya kipi kinacho hitajika kufanyika kwa mdaa atakao saliya Burundi...


Katika harakati yakujitangaza nakukuza kipaji chake cha mziki,Mwanamziki NKEJIMANA Herve a.k.a Chris d usiku wa leo ameufanya mkutano na baadhi ya waandishi wa habari wanao jihusisha na mpango mzima wakutangaza mziki.Alio yaongea kwenye mkutano huo ni kuwa:"Anataka kusimama vyema nchini Burundi,raia wamtambue zaidi,anahitaji Jopo hilo la watangazaji hao wampe nafasi nzuri yakutangaza kazi zake kupitiya vipindi tofauti tofauti.'Ilikuwa ni fursa yakupanuwana kifikra kuhusikana na mpangilio wa tamasha atakazo zifanya katika likizo fupi nchini mwake.

Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News