CAN 2013:"Burundi 1 -0 Kenya" - Kora Entertainment
Home » » CAN 2013:"Burundi 1 -0 Kenya"

CAN 2013:"Burundi 1 -0 Kenya"

Written By Unknown on dimanche 16 décembre 2012 | dimanche, décembre 16, 2012

Wachezaji wa Burundi na wa kenya waki ingia uwanjani dakika cace kipenge kipulizwe...



Leo hii kwenye uwanja wa Mwanamfalme Louis rwagasore tumeshughudia pambano la awali lakuwaniya tiketi yakushiriki kwenye fainali za kombe la wachezaji wanaochezea nyumbani maarufu kama CHAN.Burundi nyumbani imejiandikisha ushinde wa bao 1 kwa 0 zidi ya timu ya Harambe Star kutoka Kenya.Bao hilo lilifungwa kwenye dakika ya 28 na kijana NDUWARUGIRA Christophe alias Lucho,anachezeya club ya lydia Ludic.Burundi kipindi cha kwanza ilionyesha kandanda safi,ilizipata na fasi nyingi ila haikuzitumiya ipasavyo.Walipotoka mapumzikoni walizipata walifunga bao mbili ila marefa kutoka Rwanda wakesema kuwa wachezaji walio funga kuwa walioteya na bao hizo kukataliwa,kwa upande mungine kenya ilikuja juu kipindi cha pili ila bahati ndio walikosa.Ngome ya nyuma ya Intamba Murugamba ilisimama vizuri nakulinda vyema lango lao.Dakika 90 zikawa zimemalizika kwa ushindi wa Burundi wa bao 1 kwa 0 ya kenya,marudiyano ni nchini Kenya mu wiki 2.
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News