Big Farious:"Club ni moja kati ya sehemu nakapo pata inspiration ya nyimbo zangu" - Kora Entertainment
Home » » Big Farious:"Club ni moja kati ya sehemu nakapo pata inspiration ya nyimbo zangu"

Big Farious:"Club ni moja kati ya sehemu nakapo pata inspiration ya nyimbo zangu"

Written By Unknown on lundi 31 décembre 2012 | lundi, décembre 31, 2012


Fizzo wakiwa wanakatika pamoja mziki na Mkomboz




MUGANI Desire a.k.a Burundiano,a.k.a Big Fizzo,a.k.a Farious,a.k.a General,wengine siku hizi wanamuita Amiral tulipata fursa yakuongea nae kuvitu ambavyo anavyopenda katika maisha yake ya usanii,hakusita kutwambia kuwa yeye kama mwanamuziki anapenda sana kuskiliza mziki na mara nyingi huwa anapenda kuambukizana furaha na wenzie,kama sio wasanii wenzake basi niwashabiki zake na mara kwa mara hata watangazaji presenter.
Pichani: Big farious,Mkomboz na Yvan muzika...
Alitwambia:"Lazima niwe na wenzangu pamoja,wakati mnapotoka pamoja kwa kwenda kufurahi hapana shaka kuwa kuna idea flani flani ambazo zinakuwa zinaongezeka,mimi binafsi nyimbo zangu nyingi naziandika wakati nikiwa na jamaa,hasa hasa watangazaji kwani wao wanayo connection ya moja kwa moja na mashabiki,na bila washabiki sisi hatuwezi kuwepo,na ndio maana yake kutoka usiku kwenda Club kwangu ni vizuri sana,nakuwa najipanuwa zaidi sasa watu wasiwi wananichukulia kivingine."
Franck toka kund nzima la Generation 80 pamoja na Fizzo
Wakati na kapokua club sibaguwi si chaguiwi kila anaependa tuchangie tunachangia...

Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News