|
Sat b 'The Independant' |
Mwanamuziki
Bizimana Aboubakar Karoume a.k.a Sat b The Independant ametuwekeya wazi kuwa:"video yangu ya Ikinyamugigima itakuwa hewani msikuu chache,hadi mdaa huyu bado ipo jikoni inarekebishwa na wakali wawili mmoja anae julikana kwa jina la
Hugues Bana,mungine atambulika kwa jina la
Kent P pro,vijana ambao nakubali,mkae mkao wa kula mambo mazuri yako njiani."Aliongeza nakusema:"Najianda nakufanya mzungu uko wa kuitangaza nyimbo yangu 'Ikinyamugigima',nimeamuwa kuitambulisha hata Mikoani ili waitambuwe na wajuwe ni ujumbe upi nilio taka ku utowa."Hivo basi aliomba washabiki wamsapoti kwa sana... Ratiba ni hiyi ifwatayo:
*Bubanza:Tarehe 8
December
*Gitega:Tarehe 24 na 25 December
*Ngozi:Tarehe 31 December
0 commentaires:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !