Salaamu zenu mabibi na mabwana.Jina langu ni Amidou Hassan ,furaha kubwa ninayo kwakukaribisheni kwenye blog hiyi ya burundi news,ni mda sasa nilikuwa natumika kwenye tovuti za www.greatlakesmix.com na www.indundi.com ila mda huyu nimeona ntakuwa mwizi wa fadhila nikiwa ntasaliya tu kuwa mtumishi kumbe naweza kufunguwa ukurasa wa kwangu tukawa tunajulisha mengi kuhusikana na utamaduni wa kwetu burundi bila kutenga habari toka bara la Africa na Ulimwenguni,ila sana sana tutajikaza sawa na uwezo wetu tutakuwa nao kuwajuza habari tofauti tofauti za utamaduni na Michezo wa kwetu Burundi.Tunawakaribisheni wapendwa wasomi mtakao chukuwa mda wenu kuzisoma habari kupitiya blog hiyi...
Karibuni
Home »
» Amidou Hassan:"Karibuni sana..."
wish u a good job mzee,weye ni number moja Burundi kishatunafurahishwa na jukumu lako...
RépondreSupprimer