NIYINZI Rally joe,mshindi mwaka jana wa Isanganiro Awards hapo jumaa mosi
alishabikiwa kama Mwami kwani alikuwa anashindana akiwa na washabiki
wengi sana,habishangazi kwani alikuwa anashindana akiwa kwenye Tarafa
alio zaliwa.Alichukuwa na fasi ya pili baada yakivumbi na jasho kwa
mmoja kati ya wachakachuwaji(Membres du jury) Dj ashanti kuwa acha
mashabiki walio hudhuriya hapo kwenye labda labda,alikuwa kusema amseme
mshindi anachukuwa hata dakika 2 huku sisi tulio kuwa pale tunatizama
huku roho zikidunda.Mashindano hayo yalimalizika wakishindana ifwatavyo:
-Kanda ya Magharibi(Ouest) ikijumuishwa na Bujumbura
Mairie,Cibitoke,Bubanza na Bujumbura Rural wanamziki wa 4 wametambulika
hiyi leo jion mashindano hayo yalifanyika Tarafani Kinama.Walishindana
ifwatavyo:
0 commentaires:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !