Hiyo ni timu ya Inter Star miaka ya nyuma... |
Ilikuwa tarehe 17/November/2012 ndipo Ligue ya taifa msimo wa 2012-2013 ilianza huku timu kupambana,mnakumbuka ya kuwa Inter Star ilipoteza alama 2 baada ya kwenda sare na Atletico zikiwa badi zilikuwa zinasaliya sekonda 30 match imalizike.Tokio hilo halikuridhisha mashabiki walio hudhuriya kwenye uwanja tarehe hiyo,hivo basi kamati tendaji ya FFB inayo ongozwa na Mwanamama Lydia NSEKERA ililifanyiya uchunguzi wakina swali linalo husu mwenendo mbovu washabiki wa timu ya Inter star walio uonyesha baada tu ya match kumalizika.Zilichukuliwa hatuwa zifwatazo:
*Washabiki wa timu ya Inter star hawatoweza kuona match 3 mfululizo zitakazo chezwa kwenye uwanja wa Mwanamfalme Louis Rwagasore.
*Timu inalazimika kutowa kitita cha pesa laki 4(400.000frsbu).
*Hawa wafwatao wamefungiwa miaka mtakao iyona hapo chini kutowasili kuona match yeyote kwenye uwanja wa Prince Louis rwagasore.
-Mariam Bugarashi,miaka 5
-Ramadhan na Jafari,miaka 2
-Kutengenezesha vio vya nafasi ya mapumziko(Vestiaire).
-Kulazimishwa kufanya mkutano wakufunza ni dhamu washabiki wa timu yao.Waraka ambao FFB ilio andikia timu ya Inter Star ndio huyu kwa lugha ya kifaransa,tulijaribu kutafsiri hapo juu:
0 commentaires:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !