Nyota hawa watatu wa Tasniya ya filamu wameiyaga dunia mwaka huyu wa 2012. - Kora Entertainment
Home » » Nyota hawa watatu wa Tasniya ya filamu wameiyaga dunia mwaka huyu wa 2012.

Nyota hawa watatu wa Tasniya ya filamu wameiyaga dunia mwaka huyu wa 2012.

Written By Unknown on mardi 27 novembre 2012 | mardi, novembre 27, 2012


 Nchi ya Tanzania mwaka huyu imewapoteza Wasanii 3 kwenye tasniya ya filamu na mziki,Wasanii hao ni hao mnakawo waona pichani.Kuhusiyana na kifo cha Sharobaro ambae alifariki jana baada yakupata ajali ya barabarani akiwa kwenye gari lake alilo linunuwa miezi 5 ya nyuma,mazishi ya HUSSEIN RAMADHAN Mkiete maarufu kama 'Sharobaro' yamepangwa leo hiyi asubuhi kutokana na usemi wa Mjomba wake Mzee Ramadhan Saleh,na mazishi yamepangwa kufanyika Tanga.




Sehemu pajulikanapo kama Agape Secondary School,ndipo Sharo Milionea alifanya tamasha yake ya mwisho ilikuwa tarehe 23 November 2012,Ijumaa hiyi iliopita,Tamasha hiyo ali ifanya masaa 72 tu kabla ya kifo chake.Wasanii wa hapa nchini Hassan Ibrahim a.k.a Mr Happy,a.k.a Busness man alitwambiya:"Nimeshtushwa sana na kifo chake,alikuwa mtu muhimu sana ila Mungu akupenda,nta miss sana wallahi.Mola amuweke mahala pema."

Muwili wake baada yakufanya ajali...




Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News