Hapatatosha kesho Mkoani Makamba... - Kora Entertainment
Home » » Hapatatosha kesho Mkoani Makamba...

Hapatatosha kesho Mkoani Makamba...

Written By Unknown on vendredi 30 novembre 2012 | vendredi, novembre 30, 2012

Wanamuziki toka Mikoa ya:" Makamba,Bururi,Rutana,Cankuzo,Bujumbura watakutana pamoja ifikapo kesho kwenye Uwanja wa Makamba kwenye bonge la Festival.baadhi ya Wanamuziki kutokea buja wameahidi kuzikonga nyoyo za watakao wasili hapo.

Baraza la Wanamuziki nchini burundi (Amicales des Musiciens du Burundi) kwa ushirikiyano na Wizara ya vijana michezo na tamaduni(Ministere de la Jeunesse des sports et de la Culture) na Wallonie Bruxelles International wabnakuleteya bonge la tamasha hapo kesho Jumaa mosi tarehe 1/December/2012,Tamasha hiyo imeandaliwa kufanyika Mkoani Makamba na itawakusanya waimbaji toka Kusini na Magharibi ya Burundi ambao watakutana kwa pamoja kwenye uwanja wa Makamba chini ya mada "Amani,kueshi kwa pamoja ni maendeleo kwetu."Tamasha hiyo itakusanyika Mikoa ya Makamba ambao ndio watakuwa wenyeji,Bururi,Rutana,Cankuzo na Mkoa wa Bujumbura.kuingiya ni bure na Festival hiyo ya mziki imepangiwa kuanza saa nane mchana(14h).
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News