Big Farious:"Kumetokeya tatizo la ndege kwa hiyo siji tena leo" - Kora Entertainment
Home » » Big Farious:"Kumetokeya tatizo la ndege kwa hiyo siji tena leo"

Big Farious:"Kumetokeya tatizo la ndege kwa hiyo siji tena leo"

Written By Unknown on mercredi 28 novembre 2012 | mercredi, novembre 28, 2012


Mwanamuziki MUGANI Desire a.k.a Big Farious ambae leo hiyi saa moja ya usiku alikuwa anasubiri na washabiki wake wengi ameniandikiya ujumbe mfupi kwenye sim ujumbe huyo ukisema:"Vipi Mzee,kumetokea tatizo la ndege kwahio sikuji tena leo,ila naweza nikaja ijumaa insha'allah."Habari ndo hiyo...
Share this article :

1 commentaire:

Commentaire

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News