Let Me Be The One is Very Soon Kwa Mashabiki Wote Wa Mziki Wa Buja - Kora Entertainment
Home » , » Let Me Be The One is Very Soon Kwa Mashabiki Wote Wa Mziki Wa Buja

Let Me Be The One is Very Soon Kwa Mashabiki Wote Wa Mziki Wa Buja

Written By Unknown on jeudi 28 février 2013 | jeudi, février 28, 2013


Kora Entertainment tuko kwa ajili yenu Mashabiki wote pande zote za dunia
leo tumeongea na Jay Fernando (Burundian Artist Diaspora) Kupitia Mtandao wetu wa Facebook, tuka muliza baadhi ya Ma swali, akatuambia ya kwamba kuna vitu vingi Ambao yuko anaandaa mashabiki wake wote kaeni mkao wa kula  na akoongeza kusema ivi : Track yangu mpya Let me be the One nilio fanya na Chadia Brown kutoka norway iko tayari now, natarajia kuiweka hewani miezi ijayo.
kama una maoni yoyote tuma msg yako kupitia facebook yetu hii Kora Entertainment
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News