McMello Mclove:" siwezi nikasaliti kamwe nchi yangu Burundi..." - Kora Entertainment
Home » » McMello Mclove:" siwezi nikasaliti kamwe nchi yangu Burundi..."

McMello Mclove:" siwezi nikasaliti kamwe nchi yangu Burundi..."

Written By Unknown on jeudi 27 décembre 2012 | jeudi, décembre 27, 2012



Mcmello akiwa studioni mjini Ottawa...


Msanii Mrundi NGENDANGEZWA JAMAL a.k.a Mcmello Mclove ambae alizaliwa nchini Burundi,Mkoani Karusi anazidi kufanya vyema nchini CANADA.Juzi juzi tu,alitufahamisha kupitiya ujumbe mfupi kuwa mwaka 2013 anataka aunze na kasi isio kuwa na mfano.Kwasasa yuko anatumika vyakutosha kwakumalizia malizia pini zake mypyana hivi karibuni atakuwa mgeni kwenye moja kati ya Television ya Mjini Ottawa.Alitwambia:"Tarehe  5/January ntatembelea TV ina itwa Malaika TV uku Canada city Ottawa.... taenda kutowa video yangu Mpya itapitia kwenye TV Malaika..na kwakuzungumza maisha yangu.. gisi nilianza Music.. gisi niko natumika kwa album yangu itatoka 2013 ..na mambo mengine about music ninakao ufanya."Aliongeza kusema:"Kwa mdaa huu niko kwenye mazoezi makali ya kuingia nchini Burundi kufanya kazi na Wasani wa Burundi na Rwanda na hatimae kufanya kazi na bonge la Producer nchini Uganda(Washington)..."




.
Share this article :

0 commentaires:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Fans Page

Le Béryl Café- Resto- Snack

Visitors

 
Support : Kent-P | Buja News | Kora Entertainment
Copyright © 2013. Kora Entertainment - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website: Kent-P Published by Buja News