Jay JM ndio huyo amlie valiya Tshirtnyekundu... |
Msanii Jay JM Mrundi ambae alikuwa anasubiriwa kwa hamu nchini Burundi leo hiyi mida ya saa saba ndo kawasili akiwa amepokelewa na Waandishi habari tofauti na Msanii HAKIZIMANA Gael a.k.a Gaga Blue ambae watakuwa naye bega kwa bega kwenye tamasha nayo andaliwa kufanyika ifikapo tarehe 25/December/2012 siku ya (Noel)Christmas.Msani huyo alipo wasili kwenye uwanja wa ndege alionyesha sura ya furaha kwani ilikuwa ni toka kitambo yeye kutowasili Burundi.Alikuja akishindikizwa na jamaa yake kwani kwa habari tulizo zipata wako na mipango mingi yakufanya hapa nchini Burundi.
Hapa ndipo walipo fikiya...(Mutanga Nord-Bujumbura) |
Ikumbukwe ya kwamba Msanii huyo alifanya colabo moja na Gaga Blue nyimbo inayo kwenda na jina 'KANIPA NGOMA'.Wengine waimbaji kutokeya pande za Norway ambao watashirikiyana na Gaga Blue watawasili mwa wiki ijayo...
0 commentaires:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !