Bum Bum Show Ambao imeandaliwa nchi ya
D.R Congo - Bukavu.
Mr Happy : kwa mara ya kwanza naenda kufanya show
Bukavu Congo hatakama wanasema hawapendagi nyimbo za kiswahili nafikiri sii kweli kwa sababu atungelipata mkataba wa kufanya show mbili kusema kweli watu wa
Bukavu - Goma na Uvira changugu gisenyi mjee kwa wingi sana ili muone mabadiliko ao utofauti wa mziki msikubali kuambiliwa karibuni sana.
0 commentaires:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !